القائمة الرئيسية
  • plurk
Muslim Library | The Comprehensive Muslim e-Library
APP
آخر تحديث 9-12-2018
الجمعة, 05 ديسمبر 2025
جمادى الآخر 14, 1447
Number of Books 10408
قناة الجامع لعلوم القرآن - Al-Jami' Channel for Quranic Sciences

UJUMBE WA UISLAMU KWA ULIMWENGU MZIMA

UJUMBE WA UISLAMU KWA ULIMWENGU MZIMA
  • Publisher: islamhouse.com
  • Year of Publication: 2012
  • Number of Pages: 196
  • Book visits: 9302
  • Book Downloads: 4611
  • Book Languge: Swahili
  • Book Reads: 3240

UJUMBE WA UISLAMU KWA ULIMWENGU MZIMA

Shukurani zote zinamsitahiki Mwenyezi Mungu,na rehma na amani zimuendee Mtume wetu Muhammad,na ahli zake na maswahaba zake wote.
Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu: “Sema; Enyi watu mlio pewa kitabu (cha Mwenyezi Mungu.Mayahudi na Manaswara)! njooni katika neno lililo sawa baina yetu na baina yenu; ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu,wala tusimshirikishe (Mwenyezi Mungu)na chochote,wala baadhi yetu tusiwafanye wengine kuwa waungu badala ya Mwenyezi Mungu (au pamoja na Mwenyezi Mungu).wakikengeuka ,semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni waislamu,(tumenyenyekea amri za Mwenyezi Mungu”

Source: islamhouse.com

:

0

0 الإجمالي

5
4
3
2
1