APP
Last Updated 9/12/2018 11:50
Tue, 23 Apr 2024
Shawwal 14, 1445
Number of Books 10392

UJUMBE WA UISLAMU KWA ULIMWENGU MZIMA

UJUMBE WA UISLAMU KWA ULIMWENGU MZIMA

UJUMBE WA UISLAMU KWA ULIMWENGU MZIMA

Shukurani zote zinamsitahiki Mwenyezi Mungu,na rehma na amani zimuendee Mtume wetu Muhammad,na ahli zake na maswahaba zake wote.
Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu: “Sema; Enyi watu mlio pewa kitabu (cha Mwenyezi Mungu.Mayahudi na Manaswara)! njooni katika neno lililo sawa baina yetu na baina yenu; ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu,wala tusimshirikishe (Mwenyezi Mungu)na chochote,wala baadhi yetu tusiwafanye wengine kuwa waungu badala ya Mwenyezi Mungu (au pamoja na Mwenyezi Mungu).wakikengeuka ,semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni waislamu,(tumenyenyekea amri za Mwenyezi Mungu”

Source: islamhouse.com

: