Main Menu
  • plurk
Muslim Library | The Comprehensive Muslim e-Library
APP
Last Updated 9-12-2018
Fri, 05 Dec 2025
Jumaada Thani 14, 1447
Number of Books 10408
قناة الجامع لعلوم القرآن - Al-Jami' Channel for Quranic Sciences

Ujumbe Mmoja

Ujumbe Mmoja
  • Book Editor: Yunus Kanuni Ngenda
  • Publisher: islamhouse.com
  • Book Translator: Yasini Twaha Hassani
  • Year of Publication: 2016
  • Number of Pages: 15
  • Book visits: 8183
  • Book Downloads: 4338
  • Book Languge: Swahili
  • Book Reads: 3315

Ujumbe Mmoja

Ujumbe Mmoja: Umuhimu wa tawhidi ya kweli na kwamba Mitume wote wa Allah walitumwa kuja kuwafundisha watu tawhidi ya kweli nayo ni kumuabudu Allah peke yake na kujiepusha na shirki.

Baada ya kuumbwa Adam (s.a.w), ujumbe mmoja wamepewa watu karne na karne, kuna umuhimu wa kuwakumbusha watu ujumbe huu na kuwaweka katika njia iliyo nyooka,amewatuma Mwenyezi Mungu mmoja wa kweli Manabii na Mitume kama vile Adam, Nuuh, Ibrahim, Mussa, Issa na Muhammad (s.a.w), ili wafikishe ujumbe mmoja nao ni: (Mungu wa kweli ni mmoja tu muabuduni).

Sourceislamhouse.com

:

0

0 total

5
4
3
2
1