APP
Last Updated 9/12/2018 11:51
Tue, 16 Apr 2024
Shawwal 7, 1445
Number of Books 10389

Al-Hijaab

Al-Hijaab
  • Publisher: www.firqatunnajia.com
  • Year of Publication: 2015
  • Number of Pages: 43
  • Book visits: 4045
  • Book Downloads: 1991
  • Book Reads: 1460

al-Hijaab

al-Hijaab Kitabu hii kinazunguzia hijabu ya muislam sifa zake na hukumu zake Himdi zote ni za Allaah. Tunamhimidi na kumuomba msaada na msamaha. Tunajikinga Kwake kutokana na shari ya nafsi zetu na matendo yetu maovu. Yule mwenye kuongozwa na Allaah, basi hakuna awezae kumpoteza, na yule mwenye kupotezwa na Allaah, basi hakuna awezae kumwongoza. Ninashuhudia ya kwamba hapana mola wa haki isipokuwa Allaah na ninashuhudia ya kwamba Muhammad ni mja na Mtume Wake.
Allaah amswalie yeye, kizazi chake, Maswahabah zake na kila mwenye kuwafuata kwa wema mpaka siku ya Qiyaamah.

Source: islamhouse.com

: