Main Menu
  • plurk
Muslim Library | The Comprehensive Muslim e-Library
APP
Last Updated 9-12-2018
Fri, 05 Dec 2025
Jumaada Thani 14, 1447
Number of Books 10408
قناة الجامع لعلوم القرآن - Al-Jami' Channel for Quranic Sciences

Al-Hijaab

Al-Hijaab
  • Publisher: www.firqatunnajia.com
  • Year of Publication: 2015
  • Number of Pages: 43
  • Book visits: 8916
  • Book Downloads: 4068
  • Book Languge: Swahili
  • Book Reads: 3325

al-Hijaab

al-Hijaab Kitabu hii kinazunguzia hijabu ya muislam sifa zake na hukumu zake Himdi zote ni za Allaah. Tunamhimidi na kumuomba msaada na msamaha. Tunajikinga Kwake kutokana na shari ya nafsi zetu na matendo yetu maovu. Yule mwenye kuongozwa na Allaah, basi hakuna awezae kumpoteza, na yule mwenye kupotezwa na Allaah, basi hakuna awezae kumwongoza. Ninashuhudia ya kwamba hapana mola wa haki isipokuwa Allaah na ninashuhudia ya kwamba Muhammad ni mja na Mtume Wake.
Allaah amswalie yeye, kizazi chake, Maswahabah zake na kila mwenye kuwafuata kwa wema mpaka siku ya Qiyaamah.

Source: islamhouse.com

:

0

0 total

5
4
3
2
1