APP
آخر تحديث 9/12/2018 11:53
الثلاثاء, 16 أبريل 2024
شوال 7, 1445
Number of Books 10389

Ujumbe Mmoja

Ujumbe Mmoja
  • Book Editor: Yunus Kanuni Ngenda
  • Publisher: islamhouse.com
  • Book Translator: Yasini Twaha Hassani
  • Year of Publication: 2016
  • Number of Pages: 15
  • Book visits: 3983
  • Book Downloads: 2033
  • Book Reads: 1483

Ujumbe Mmoja

Ujumbe Mmoja: Umuhimu wa tawhidi ya kweli na kwamba Mitume wote wa Allah walitumwa kuja kuwafundisha watu tawhidi ya kweli nayo ni kumuabudu Allah peke yake na kujiepusha na shirki.

Baada ya kuumbwa Adam (s.a.w), ujumbe mmoja wamepewa watu karne na karne, kuna umuhimu wa kuwakumbusha watu ujumbe huu na kuwaweka katika njia iliyo nyooka,amewatuma Mwenyezi Mungu mmoja wa kweli Manabii na Mitume kama vile Adam, Nuuh, Ibrahim, Mussa, Issa na Muhammad (s.a.w), ili wafikishe ujumbe mmoja nao ni: (Mungu wa kweli ni mmoja tu muabuduni).

Sourceislamhouse.com

: